KIAMA CHA MAABARA BUBU CHATANGAZWA
Na Mwandishi wetu Dar es Salaam Wamiliki wa Maabara bubu nchini ambazo hazijasajiliwa wamepewa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia leo hadi Aprili 30 wawe wamesajili Maabara zao ili kuepuka kufungiwa. Agizo hilo limetolewa mapema leo na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Grace Magembe
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed